Thursday, June 16, 2016

Picha iliyopigwa na Sam Nzima, ikimuonyesha mtoto Hector Pieterson ambae aliuwawa na Polisi wa Afrika ya Kusini akiwa na miaka 13; Mwili wa Hector ulibebwa na mwanafunzi mwenzake huku dada yake akifuata.
Hiyo ndio picha ya kwanza iliyopigwa na kusambaa Duniani kote ikionyesha mauji ya hayo na mpaka sasa inatumika kama nembo ya kipekee kukumbuka tukio la Mauaji ya Soweto (Soweto Uprising of 16,June, 1976)

No comments:

Post a Comment