Saturday, June 25, 2016

......Wiki moja baada ya Serikali ya Mh. Dk. Pombe kufuta Umisetta kuokoa shilingi 1.5 Bilioni za madawati, Kiungo wa Umisetta ya zamani Kenya, Victor Wanyama amesaini mkataba wa miaka mitano Tottenham ambao utampatia shilingi za Kenya milioni 35 kwa mwezi ambazo ni sawa na shilingi za Tanzania milioni 744 kwa mwezi, ambazo katika miezi miwili anaweza kujitolea kufuta tatizo la madawati Tanzania......Mh. George Simbachawene upo?

No comments:

Post a Comment