Saturday, June 25, 2016


Rais Magufuli ashangaa kutomuona Meya wa Kinondoni, Boniphace Jacob kwenye uzinduzi wa Mpango wa Usalama wa Jamii Viwanja vya Biafra Dar es Salaam.
"Kwenye ujambazi hakuna chama, mstahiki Meya wa hapa Kinondoni yupo kama yupo aje asalimie wananchi. Eehhh hayupo kwa hiyo yeye ujambazi anautaka tu"

No comments:

Post a Comment