Friday, July 29, 2016

Watafiti wadai aina hii ya mende wanatoa Maziwa yenye protini kuliko ya ng’ombe

on
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini moja baada ya nyingine.
Moja ya yalioandikwa ni huu utafiti kwenye gazeti la Mwananchi yenye kichwa ‘Maziwa ya mende yana protini kuliko ya ng’ombe’

No comments:

Post a Comment